Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w14 1/1 uku. 16
  • Majibu ya Maswali ya Biblia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Majibu ya Maswali ya Biblia
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Mungu ana utu wa aina gani?
  • Je, Kilio cha Haki Kitasikika?
    Habari Zaidi
  • Unaweza Kukabiliana na Ukosefu wa Haki!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Je! Kweli Kuna Wakati Ambapo Mungu Ataondoa Ukosefu wa Haki?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1989
  • “Je, kwa Mungu Kuna Ukosefu wa Haki?”
    Mkaribie Yehova
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
w14 1/1 uku. 16
Mama na watoto wanaoishi katika hali ya umaskini

Majibu Ya Maswali Ya Biblia

Mungu ana utu wa aina gani?

Mungu ana mwili wa roho usioweza kuonekana. Aliumba mbingu, dunia, na viumbe vyote vyenye uhai. Mungu hakuumbwa, yeye hana mwanzo. (Zaburi 90:2) Mungu anataka watu wamtafute na wajue ukweli kumhusu.—Soma Matendo 17:24-27.

Tunaweza kumjua Mungu kwa jina. Tunaweza kutambua baadhi ya sifa zake kwa kuchunguza vitu alivyoumba. (Waroma 1:20) Lakini ili tumjue Mungu vizuri, tunahitaji kujifunza Neno lake, Biblia. Linatufunulia sifa nzuri za Mungu.—Soma Zaburi 103:7-10.

Mungu anahisije kuhusu ukosefu wa haki?

Muumba wetu, Yehova, anachukia ukosefu wa haki. Aliwaumba wanadamu kwa mfano wake. (Kumbukumbu la Torati 25:16) Hiyo ndiyo sababu wengi wetu tunachukia ukosefu wa haki. Uovu tunaoona ulimwenguni hausababishwi na Mungu. Mungu aliwapa wanadamu uhuru wa kuchagua. Inasikitisha kwamba watu wengi hutumia uhuru huo vibaya kwa kutotenda kwa haki. Yehova ‘huumia moyoni.’—Soma Mwanzo 6:5, 6; Kumbukumbu la Torati 32:4, 5.

Yehova anapenda haki, na hataendelea kuvumilia ukosefu wa haki milele. (Zaburi 37:28, 29) Biblia inaahidi kwamba hivi karibuni Mungu atakomesha ukosefu wote wa haki.—Soma 2 Petro 3:7-9, 13.

Biblia inaahidi kwamba hivi karibuni Mungu atahakikisha watu wote wanatendewa kwa haki

Kwa habari zaidi soma sura ya 1 ya kitabu hiki kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza kukipakua kwenye www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki