Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w15 6/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 6/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Juni 15, 2015

© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania

TOLEO LA FUNZO

JULAI 27–AGOSTI 2, 2015

Kristo —Nguvu za Mungu

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 14, 109

AGOSTI 3-9, 2015

Aliwapenda Watu

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 84, 99

AGOSTI 10-16, 2015

Tunaweza Kuwa Safi Kiadili

UKURASA WA 13 • NYIMBO: 83, 57

AGOSTI 17-23, 2015

Ishi Kupatana na Sala ya Mfano—Sehemu ya Kwanza

UKURASA WA 20 • NYIMBO: 138 Jina Lako Ni Yehova (wimbo mpya), 89

AGOSTI 24-30, 2015

Ishi Kupatana na Sala ya Mfano—Sehemu ya Pili

UKURASA WA 25 • NYIMBO: 22, 68

MAKALA ZA FUNZO

▪ Kristo—Nguvu za Mungu

▪ Aliwapenda Watu

Makala hizi zinazungumzia miujiza ya Yesu, ambayo inatufundisha jinsi ya kuonyesha ukarimu, kuwategemeza wengine, na kufunua sifa nzuri za Yesu. Zitatusaidia tufikirie wakati ujao ulio karibu ambapo tutaona miujiza yenye kusisimua itakayofanyika duniani kote.

▪ Tunaweza Kuwa Safi Kiadili

Si rahisi kuwa safi kiadili katika ulimwengu huu uliopotoka. Katika makala hii tutaona jinsi uhusiano wetu na Yehova, ushauri wa Neno lake, na msaada wa Wakristo wenzetu unavyoweza kutusaidia kupinga mawazo yasiyofaa na kuishi kupatana na viwango vya juu vya maadili vya Yehova.

▪ Ishi Kupatana na Sala ya Mfano —Sehemu ya Kwanza

▪ Ishi Kupatana na Sala ya Mfano —Sehemu ya Pili

Wakristo hawarudii-rudii maneno ya Sala ya Bwana kila siku, lakini maombi yaliyotolewa katika sala hiyo ni ya muhimu kwetu sote. Katika makala hizi tutaona jinsi tunavyoweza kuishi kupatana na maombi hayo.

PIA KATIKA TOLEO HILI

18 “Ikiwa Kingsley Anaweza, Mimi pia Ninaweza!”

30 “Mnahitaji Kuwa na Uvumilivu”

32 Je, Unakumbuka?

JALADA: Mashahidi waaminifu wakitumia mashua kuwafikia watu wanaoishi katika kisiwa cha Bocas del Toro Archipelago karibu na pwani ya kaskazini magharibi mwa Panama. Wanawahubiria baadhi ya wakazi wa kisiwa hicho katika lugha ya Kingabere

PANAMA

IDADI YA WATU

3,931,000

WAHUBIRI

16,217

MAPAINIA WA KAWAIDA

2,534

Kuna mapainia wa pekee zaidi ya 180 katika makutaniko 309 nchini Panama. Wahubiri wapatao 1,100 wanatumikia katika makutaniko 35 na vikundi 15 vinavyotumia lugha ya Kingabere. Wahubiri 600 hivi, wanatumikia katika makutaniko 16 na vikundi 6 vinavyotumia Lugha ya Alama ya Panama

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki