Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp17 Na. 5 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2017
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Je, amani itapatikana duniani?
  • Amani ya Kweli—Kutoka Chanzo Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1997
  • Je, Unaweza Kupata Amani Katika Ulimwengu Huu Wenye Misukosuko?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Jinsi Ambavyo Amani Yaweza Kupatikana Duniani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Nani Ataongoza Ainabinadamu Kwenye Amani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2017
wp17 Na. 5 uku. 16
Silaha zote za vita zikiharibiwa

Silaha zote za vita zitaharibiwa

Biblia Inasema Nini?

Je, amani itapatikana duniani?

Ungejibuje?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Labda

Biblia inasema nini?

Yesu atakapoitawala dunia, kutakuwa na “wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena,” yaani milele.—Zaburi 72:7.

Mambo mengine tunayojifunza katika Biblia

  • Waovu wataharibiwa, na waadilifu “watapata furaha yao tele katika wingi wa amani” duniani.—Zaburi 37:10, 11.

  • Mungu atakomesha vita vyote. —Zaburi 46:8, 9.

Je, inawezekana kuwa na amani ya akili leo?

Baadhi ya watu wanaamini . . . kwamba haiwezekani kuwa na amani ya kweli ya akili kwa sababu ya mateso na ukosefu wa haki uliokithiri duniani. Wewe una maoni gani?

Biblia inasema hivi:

Hata leo, wale walio na uhusiano wa karibu na Mungu wanaweza kuwa “na amani ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote.”—Wafilipi 4:6, 7.

Ni nini kingine tunachojifunza katika Biblia?

  • Mungu anaahidi kuondoa mateso na ukosefu wote wa haki, na “kufanya vitu vyote kuwa vipya.”—Ufunuo 21:4, 5.

  • Tunaweza kupata amani ya akili ikiwa tutatosheleza “uhitaji [wetu] wa kiroho.” —Mathayo 5:3.

Kwa habari zaidi, soma sura ya 3 ya kitabu, Biblia Inafundisha Nini Hasa? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Pia, kinapatikana kwenye www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki