Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp19 Na. 2 uku. 16
  • ‘Anakujali’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • ‘Anakujali’
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu Wote)—2019
  • Habari Zinazolingana
  • Unaweza Kumkaribia Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu Wote)—2019
  • Jinsi Kweli Inavyoweza Kukunufaisha
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2020
  • Mungu Anahisije Anapoona Ukiteseka?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2018
  • Je, Kuteseka Kutaisha?
    Je, Kuteseka Kutaisha?
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu Wote)—2019
wp19 Na. 2 uku. 16

‘Anakujali’

Mwanamke ametabasamu huku akitembea kwa ujasiri kwenye barabara iliyo na watu wengi

Hata ingawa wengine wanaweza kukusaliti, kuna Yule ambaye hawezi kamwe kukuacha. Ni nani huyo?

Mfalme Daudi alisema: “Hata baba yangu na mama yangu wakiniacha, Yehova mwenyewe atanichukua.”—Zaburi 27:10.

Yehova ni “Baba wa rehema nyororo na Mungu wa faraja yote, ambaye hutufariji katika majaribu yetu yote.”—2 Wakorintho 1:3, 4.

‘Tupa mahangaiko yako yote juu yake, kwa sababu yeye anakujali.’—1 Petro 5:7.

Ili ujue jinsi Mungu anavyotaka kukuimarisha, soma somo la 08 la kitabu Furahia Maisha Milele! kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova. Pia kinapatikana kwenye tovuti ya www.jw.org/sw

Ili ujifunze mengi zaidi kuhusu jinsi ya kumkaribia Mungu, soma somo la 08 la kitabu hiki, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova na kinachopatikana kwenye tovuti ya www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki