‘Anakujali’
Hata ingawa wengine wanaweza kukusaliti, kuna Yule ambaye hawezi kamwe kukuacha. Ni nani huyo?
Mfalme Daudi alisema: “Hata baba yangu na mama yangu wakiniacha, Yehova mwenyewe atanichukua.”—Zaburi 27:10.
Yehova ni “Baba wa rehema nyororo na Mungu wa faraja yote, ambaye hutufariji katika majaribu yetu yote.”—2 Wakorintho 1:3, 4.
‘Tupa mahangaiko yako yote juu yake, kwa sababu yeye anakujali.’—1 Petro 5:7.
Ili ujue jinsi Mungu anavyotaka kukuimarisha, soma somo la 08 la kitabu Furahia Maisha Milele! kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova. Pia kinapatikana kwenye tovuti ya www.jw.org/sw