Mikutano ya Utumishi wa Shambani
JANUARI 1-7
Ni jinsi gani wewe
1. Utatanguliza Kichwa cha Mazungumzo kipya?
2. Utafanya badiliko la kutoka kwenye Kichwa hadi kwenye toleo la wakati huu?
JANUARI 8-14
Ni nini kitakachokusaidia
1. Ubaki chonjo zaidi kutoa fasihi ya Biblia?
2. Utoe vichapo kwa njia ya vivi hivi?
JANUARI 15-21
Kutumia trakti kwa matokeo
1. Ni madokezo gani yanayotolewa kwenye toleo hili la Huduma ya Ufalme Yetu?
2. Utatumia trakti gani?
JANUARI 22-28
Kuendeleza matokeo yetu shambani
1. Kwa nini tuhangaikie matokeo shambani?
2. Tungeweza kufanya maendeleo katika katika njia zipi?
JANUARI 29-FEBRUARI 4
Ni jinsi gani utangulizi ungeweza
1. Kuamsha kupendezwa?
2. Kuonyesha kuhangaikia kibinafsi wengine?