Mikutano ya Utumishi wa Shambani
DESEMBA 31-JANUARI 6
Kichwa cha Mazungumzo
1. Pitia mambo makuu ya maandiko yanayotumiwa.
2. Toleo la sasa laweza kutangulizwaje?
JANUARI 7-13
Katika toleo la sasa
1. Utatumia kitabu gani?
2. Unapanga kutumia jambo/mambo gani katika mazungumzo?
JANUARI 14-20
Kutumia kitabu Kutoa Sababu (uku. 89)
1. Pitia kichwa kidogo ‘Je! kutakuwako waokokaji?’
2. Mawazo hayo yaweza kutumiwaje pamoja na kichwa?
JANUARI 21-27
Trakti
1. Zazungumzia vichwa vipi?
2. Zaweza kutumiwaje katika utangulizi?
3. Ungeanzaje funzo ukitumia mojapo?
JANUARI 28-FEBRUARI 3
Wewe
1. Utawekaje msingi katika ziara ya kwanza kwa ajili ya ziara ya kurudia?
2. Utachocheaje kupendezwa na funzo la Biblia nyumbani?