Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 1/93 uku. 3
  • Habari Za Kitheokrasi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Habari Za Kitheokrasi
  • Huduma Yetu ya Ufalme—1993
  • Habari Zinazolingana
  • Habari Za Kitheokrasi
    Huduma Yetu ya Ufalme—1992
  • Habari za Kitheokrasi
    Huduma Yetu ya Ufalme—1989
  • Habari za Kitheokrasi
    Huduma Yetu ya Ufalme—1991
  • Habari Za Kitheokrasi
    Huduma Yetu ya Ufalme—1998
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—1993
km 1/93 uku. 3

Habari Za Kitheokrasi

Australia: Kilele kipya cha wahubiri 57,272 kilifikiwa katika Agosti, kikifunga mwaka wa utumishi kukiwa na wahubiri 1,541 juu ya kilele chao cha mbeleni. Idadi ya juu zaidi ya wakati mwingine wowote ya mafunzo ya Biblia 31,712 iliripotiwa.

Ghana: Ongezeko la asilimia 18 juu ya idadi ya wastani ya wahubiri ya mwaka jana lilifikiwa katika Agosti, kukiwa na 37,676 wakiripoti utumishi wa shambani.

Jamhuri ya Dominika: Kukiwa na 15,418 wakiripoti katika Agosti, walipata ongezeko katika wahubiri la asilimia 20 juu ya mwaka wa utumishi uliopita. Zaidi ya asilimia 20 ya wahubiri wamo katika utumishi wa wakati wote.

Puerto Rico: Kilele kipya cha wahubiri 25,315 kiliripoti katika Agosti.

Saiprasi: Agosti ulileta kilele chao cha wahubiri cha nane kwa mwaka wa utumishi, kukiwa na 1,433 wakiripoti. Hilo lilikuwa ongezeko la asilimia 9 juu ya wastani wa mwaka jana.

Togo: Ongezeko katika wahubiri la asilimia 28 juu ya wastani wa mwaka jana lilifikiwa katika Agosti. Mwaka wa utumishi ulifunga kukiwa na wahubiri 7,100 wakiripoti. Kulikuwako 728 wapya waliobatizwa katika mwaka huo.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki