Habari Za Kitheokrasi
Asmara: Wa mwisho wa “Wachukuaji Nuru” Mikusanyiko ya Wilaya ulifanywa wakati wa Machi kukiwa na jumla ya 1,275 waliohudhuria na 30 wakabatizwa.
Gabon: Kilele kipya cha wahubiri 1,255 kilifikiwa Novemba. Wahubiri wa kundi walifikia wastani wa saa 17 katika huduma ya shambani.