Habari Za Kitheokrasi
Bahamas: Wale wahubiri 1,294 walifurahi kuwa na hudhurio la watu 3,149 kwenye Mikusanyiko yao ya “Ufundishaji wa Kimungu” na kuona 38 wakibatizwa.
Brazili: Katika Julai kilele cha nne cha wahubiri kwa mwaka wa utumishi wa 1993 kilifikiwa kukiwa na 348,634 wakiripoti.
Gabon: Kukiwa na wahubiri 1,332 wakiripoti katika Julai, walifikia kilele chao cha tano kwa mwaka wa utumishi wa 1993. Wahubiri hao wenye bidii walikuwa na wastani wa muda wa saa 17.8, walifanya ziara za kurudia 22,658, na kuongoza mafunzo ya Biblia nyumbani 4,280.
Kenya: Jumba la Ufalme la Malindi liliwekwa wakfu mnamo Oktoba 3 kukiwa na hudhurio la watu 213.
Tanzania: Jumla ya watu 330 walihudhuria programu ya kuweka wakfu Jumba la Ufalme la Central la Dar es Salaam mnamo Septemba 4.