Mafunzo ya “Mnara wa Mlinzi” kwa Majuma ya
Oktoba 2: Julai 1, 1995: Mashahidi Wakristo Walio na Uraia wa Kimbingu.
Oktoba 9: Julai 1, 1995: “Israeli wa Mungu” na “Ule Umati Mkubwa.”
Oktoba 16: Julai 1, 1995: Wakaaji-Pamoja Katika “Bara” Lililorudishwa.
Oktoba 23: Julai 15, 1995: Fungu la Wanawake Lenye Heshima Miongoni mwa Watumishi wa Mungu wa Mapema.
Oktoba 30: Julai 15, 1995: Wanawake Wakristo Wastahili Heshima na Staha.