Habari Za Kitheokrasi
Kuba: Hivi majuzi serikali ya Kuba ilimruhusu mwakilishi wa Sosaiti azuru Kuba akiwa mwangalizi wa kanda. Mkutano ulifanywa na waangalizi wa mzunguko na wa wilaya. Akina ndugu sasa wanaweza kukusanyika katika vikundi vya hadi watu 150. Wanathamini kwamba sasa wanafurahia uhuru ulioongezeka na kwamba Makao ya Betheli yanaweza kutumiwa tena yakiwa kitovu cha Mashahidi wa Yehova katika Kuba.
Tanzania: Kuwekwa wakfu kwa Jumba la Ufalme katika Songwe kulifanywa kukiwa na hudhurio la watu 208.