Habari Za Kitheokrasi
◼ Burundi: Kuanzia Januari 1998 hadi Aprili 1999, kwa msaada wa Watumishi wa Kimataifa na Wajitoleaji, Majumba ya Ufalme 13 yalijengwa katika Burundi na 9 yakawekwa wakfu.
◼ Chile: Takwa jipya la saa kwa mapainia lilipokewa kwa uchangamfu, kama ilivyothibitishwa na kilele kikuu zaidi cha mapainia wa kawaida 4,351 walioripoti mwezi wa Januari. Pia, mapainia-wasaidizi 5,175 waliripoti, hiyo ikiwa kilele cha mwaka huu.
◼ Hivi majuzi Majumba ya Ufalme yafuatayo yaliwekwa wakfu: Kinoo, Kenya; Kigali Biryogo, Rwanda.