Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp20 Na. 1 uku. 16
  • Jinsi Kweli Inavyoweza Kukunufaisha

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jinsi Kweli Inavyoweza Kukunufaisha
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2020
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • UNAHITAJI KUFANYA NINI?
  • ‘Anakujali’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu Wote)—2019
  • Je, Umewahi Kujiuliza Maswali Haya?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2020
  • Unaweza Kumkaribia Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu Wote)—2019
  • Una Maoni Gani Kuhusu Wakati Ujao?
    Una Maoni Gani Kuhusu Wakati Ujao?
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2020
wp20 Na. 1 uku. 16

Jinsi Kweli Inavyoweza Kukunufaisha

Mungu, ambaye sikuzote anasema kweli, anaahidi kukupatia “uzima wa milele.”​—Yohana 3:16.

UNAHITAJI KUFANYA NINI?

Mwanamke akiwa hotelini anasoma Biblia kwenye kifaa chake cha kielektroniki
  • Jifunze mambo ambayo Neno la Mungu la kweli linasema.​—Yohana 17:3, 17.

  • Chagua kumtii Mungu.​—Kumbukumbu la Torati 30:19, 20.

  • Tumia mwongozo tunaopata kutoka kwa Mungu maishani mwako.​—Yakobo 1:25.

Mashahidi wa Yehova ulimwenguni pote wamejionea faida za kujifunza kweli za Biblia. Watafurahi kukueleza mambo wanayojifunza.

Ili ujifunze kweli zaidi kutoka katika Biblia, soma broshua Furahia Maisha Milele! iliyochapishwa na Mashahidi wa Yehova na inayopatikana kwenye tovuti ya www.jw.org.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki