Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 1/02 uku. 7
  • ‘Weka Kando Kitu Fulani’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • ‘Weka Kando Kitu Fulani’
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2002
  • Habari Zinazolingana
  • Tunaweza Kumpa Yehova
    Huduma Yetu ya Ufalme—2008
  • Watu Wanaotoa kwa Ukarimu Ni Watu Wenye Furaha
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
  • Nguvu Zenye Kuchochea za Ukarimu wa Kristo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • “Weka Kando Kitu Fulani”
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2002
km 1/02 uku. 7

‘Weka Kando Kitu Fulani’

Katika kutaniko la awali la Kikristo, kulikuwa na mahitaji ya kimwili yaliyopaswa kushughulikiwa. Kila mtu alipoendelea kufanikiwa, alisihiwa “aweke kando kitu fulani” kiwe mchango wa kushughulikia mahitaji hayo. (1 Kor. 16:1-3) Kwa sababu ya ukarimu wao, wote walipata shangwe ya kutoa “maonyesho mengi ya shukrani kwa Mungu.”—2 Kor. 9:11, 12.

Leo kazi ya ulimwenguni pote ya watu wa Yehova yaendelea kupanuka, hivyo twahitaji twendelee kuitegemeza kifedha. Ingefaa sisi pia ‘tuweke kando kitu fulani’ kwa ukawaida ili kusaidia katika uhitaji huu. (2 Kor. 8:3, 4) Twaweza kutoa vitu vya kimwili kwa njia nyingi. (Ona Mnara wa Mlinzi, Novemba 1, 2001, ukurasa wa 28-29.) Sisi huiona hiyo kuwa fursa ya pekee inayoleta furaha ya kweli.—Mdo. 20:35.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki