Habari za Kitheokrasi
◼ Majumba ya Ufalme yafuatayo yaliwekwa wakfu hivi karibuni:
Burundi: Mugaruro, Musigati na Muzinda.
Kenya: Kangari, Kapsabet, Kiima Kimwe, Kisumu Mamboleo, Matungulu, Mihuti, Mitaboni, Nandi Hills, Nyamira, Suna Migori na Upete.
Tanzania: Geita, Mafinga, Mbaga, Mgombe, Mwanza Mashariki, Sanya Juu, Sengerema na Songea Kaskazini.