Habari za Kitheokrasi
◼ Majumba ya Ufalme yafuatayo yaliwekwa wakfu hivi karibuni:
Burundi: Kinama na Nyabihanga.
Kenya: Eldoret-Race Course, Kagio, Kaimosi, Kilgoris, Kivaa, Luanda, Masinga Dam, Naivasha, Ondiri, na Sultan Hamud.
Tanzania: Ifuwa, Kahe, Malowe, Nditu, Nkala, Sumbawanga Kaskazini, na Turiani.