Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 12/02 uku. 4
  • Sanduku La Swali

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sanduku La Swali
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2002
  • Habari Zinazolingana
  • Barua ya Kielelezo
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Sanduku La Swali
    Huduma Yetu ya Ufalme—1996
  • Kuandika Barua
    Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Wala Theluji Wala Mvua Wala Wingi Havizuii Upelekaji Barua
    Amkeni!—1993
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2002
km 12/02 uku. 4

Sanduku La Swali

◼ Kwa nini kuna uhitaji wa kuwa waangalifu tunapohubiri kupitia barua?

Kuhubiri kupitia barua kumekuwa njia yenye matokeo sana ya kujulisha wengine habari njema. Hata hivyo, matukio ya ulimwengu yamefanya watu watahadhari kufungua barua wasizojua. Bahasha kutoka mahali wasipojua au ambazo hazina anwani ya mahali zilipotoka mara nyingi huogopwa, hasa kama zimeandikwa kwa mkono na kama barua zenyewe ni kubwa. Huenda wenye nyumba wakatupa barua hizo bila kuzifungua. Twaweza kuzuiaje jambo hilo?

Ikiwezekana, tumia mashine ya kupiga chapa kuandika barua na kwenye bahasha pia. Bahasha yapaswa kuandikwa jina la mwenye nyumba. Usiandike “Kwa Mwenye Nyumba.” Kwa kuongezea, sikuzote andika anwani yako juu ya bahasha. Ikiwa haifai kuonyesha anwani yako, tumia jina lako na anwani ya Jumba la Ufalme. Usitume barua bila kujitambulisha. Usitumie kamwe anwani ya ofisi ya tawi.—Ona Sanduku la Swali la Huduma Yetu ya Ufalme ya Novemba 1996.

Madokezo zaidi na barua ya mfano yaweza kupatikana katika kitabu Faidika na Shule ya Huduma ya Kitheokrasi, ukurasa wa 71-73. Miongozo hii itatusaidia kutumia barua kwa matokeo tunapowahubiria wengine habari njema.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki