Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 7/07 uku. 2
  • Ratiba Ya Mkutano Wa Utumishi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba Ya Mkutano Wa Utumishi
  • Huduma ya Ufalme—2007
  • Vichwa vidogo
  • Juma Linaloanza Julai 9
  • Juma Linaloanza Julai 16
  • Juma Linaloanza Julai 23
  • Juma Linaloanza Julai 30
  • Juma Linaloanza Agosti 6
Huduma ya Ufalme—2007
km 7/07 uku. 2

Ratiba Ya Mkutano Wa Utumishi

Juma Linaloanza Julai 9

Wimbo 4

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Ukitumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa wa 4 au utoaji mwingine unaofaa eneo lenu, toa maonyesho ya jinsi ya kutoka Mnara wa Mlinzi la Juni 15 na Amkeni! la Juni.

Dak. 15: Ni Nini Chanzo cha Furaha ya Kweli? Hotuba na mazungumzo pamoja na wasikilizaji yakitegemea Mnara wa Mlinzi la Mei 15, 2006, ukurasa wa 28-29, mafungu 11-12. Mhoji kwa ufupi mtu ambaye amechagua utumishi kuwa jambo muhimu maishani badala ya kufuatia raha au kazi ya kimwili. Ni nini kimemfanya afuatie miradi ya kiroho? Hilo limemletea furaha gani?

Dak. 20: Sanduku la Swali. Ishughulikiwe na mzee. Soma na uzungumzie makala yote. Tia ndani mambo kutoka katika Amkeni! la Mei 22, 2005, ukurasa wa 13-14, chini ya vichwa vidogo “Hatari za Kudanganya na Kuweka Siri” na “Afadhali Mtu Unayemfahamu Kuliko Unayemwazia.”

Wimbo 91 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Julai 16

Wimbo 16

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Habari za Kitheokrasi.

Dak. 20: Kudumisha Amani na Usafi wa Kutaniko. Hotuba na mazungumzo pamoja na wasikilizaji yakitegemea kitabu Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova, kuanzia ukurasa wa 144 hadi kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 150.

Dak. 15: “Mabadiliko Yenye Kusisimua Katika Mnara wa Mlinzi!”a

Wimbo 189 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Julai 23

Wimbo 133

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Soma ripoti ya hesabu na taarifa ya shukrani kwa ajili ya michango. Ukitumia mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa wa 4 au utoaji mwingine unaofaa eneo lenu, toa maonyesho ya jinsi ya kutoa Mnara wa Mlinzi la Julai 1 na Amkeni! la Julai.

Dak. 20: Mkaribishane. Hotuba ikitegemea Mnara wa Mlinzi la Januari 15, 2005, ukurasa wa 21-23. Mhoji mhubiri mmoja au wawili wanaojulikana kwa kukaribisha wageni. Wamejitahidi kuonyesha ukaribishaji kwa njia gani? Ni baraka gani ambazo wao na familia zao wamepata kwa kufanya hivyo?

Dak. 15: Kutayarisha Utangulizi Wenye Matokeo. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yakitegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 9, mafungu ya 1-2. Tia ndani maonyesho mawili kuonyesha jinsi ya kutoa toleo la Agosti.

Wimbo 61 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Julai 30

Wimbo 200

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Wakumbushe wahubiri watoe ripoti ya utumishi ya Julai.

Dak. 15: Kujidhabihu Huleta Baraka za Yehova. Hotuba ikitegemea Mnara wa Mlinzi la Novemba 15, 2005, ukurasa wa 8-9.

Dak. 20: “Mwenye Furaha Ni Mtu Anayeendelea Kuvumilia Jaribu.”b Mnapozungumzia fungu la 3, wakaribishe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo imani yenye nguvu imewasaidia walipokabili majaribu ghafula. Unaweza kupanga mapema mtu mmoja au wawili kati ya wale watakaotoa maelezo.

Wimbo 13 na sala ya kumalizia.

Juma Linaloanza Agosti 6

Wimbo 106

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Matangazo yaliyoteuliwa katika Huduma Yetu ya Ufalme.

Dak. 15: Mahubiri Yasiyo Rasmi—Njia Muhimu ya Kuhubiri Habari Njema. Mazungumzo na wasikilizaji yakitegemea kitabu Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova, ukurasa wa 101-102. Pendekeza njia fulani zinazofaa za kuhubiri isivyo rasmi. Wakaribishe wasikilizaji watoe mambo yaliyoonwa yanayofaa ambayo walipata walipokuwa wakihubiri isivyo rasmi.

Dak. 20: “Sababu Inayotufanya Turudi Tena na Tena.”c Mnapozungumzia fungu la 5, wakaribishe wasikilizaji waeleze kilichowafanya wapendezwe na kweli ingawa hapo mbeleni walikuwa wanapinga au hawakupendezwa.

Wimbo 211 na sala ya kumalizia.

[Maelezo ya Chini]

a Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.

b Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.

c Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki