Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 12/07 uku. 2
  • Ratiba Ya Mkutano Wa Utumishi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba Ya Mkutano Wa Utumishi
  • Huduma ya Ufalme—2007
  • Vichwa vidogo
  • Juma Linaloanza Desemba 10
  • Juma Linaloanza Desemba 17
  • Juma Linaloanza Desemba 24
  • Juma Linaloanza Desemba 31
  • Juma Linaloanza Januari 7
Huduma ya Ufalme—2007
km 12/07 uku. 2

Ratiba Ya Mkutano Wa Utumishi

Juma Linaloanza Desemba 10

Wimbo 46

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Ukitumia mapendekezo kwenye ukurasa wa 8 au mapendekezo mengine yanayofaa eneo lenu, toa maonyesho ya jinsi ya kutoa Mnara wa Mlinzi la Novemba 15 na Amkeni! la Novemba.

Dak. 20: Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ya 2008. Hotuba ishughulikiwe na mwangalizi wa shule. Zungumzia mambo yanayohitaji kukaziwa katika kutaniko lenu kutoka katika nyongeza ya Huduma Yetu ya Ufalme ya Oktoba 2007. Zungumzia jukumu la mshauri-msaidizi. Wahimize wote wawe na bidii katika kutimiza migawo yao, kushiriki katika mambo makuu ya Biblia, na kutumia mashauri yanayotolewa kila juma kutoka katika kitabu Faidika na Shule ya Huduma ya Kitheokrasi.

Dak. 15: “Wafariji Walioshuka Moyo.”a Eleza kwa ufupi jambo moja au mawili yaliyoonwa katika kutaniko lenu.

Wimbo 34

Juma Linaloanza Desemba 17

Wimbo 28

Dak. 10 Matangazo ya kwenu. Matangazo yaliyoteuliwa kutoka katika Huduma Yetu ya Ufalme. Ikiwa video Jehovah’s Witnesses—Organized to Share the Good News inapatikana, watie moyo wote waitazame ili wawe tayari itakapozungumziwa kwenye Mkutano wa Utumishi juma linaloanza Desemba 31. Mahali ambapo video hiyo haipatikani, makala “Jinsi Unavyoweza Kumsaidia Mtoto Wako Ampende Mungu Kutoka Moyoni” kwenye gazeti la Mnara wa Mlinzi la Septemba 15, 2007 ukurasa wa 8-10 inaweza kutumiwa. Habari za kitheokrasi.

Dak. 15: “Tunahitaji Kudumisha Bidii Katika Huduma.”b Hoji mhubiri ambaye anajulikana kwa bidii yake utumishini. Muulize maswali yafuatayo: Umefanya jitihada gani ili kudumisha bidii yako? Ni nini ambacho kimekusaidia kudumisha bidii yako?

Dak. 20: “Watolee Magazeti Yanayotoa Ushahidi Juu ya Ile Kweli.”c Omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu Huduma ya Ufalme ya Novemba 2006, ukurasa wa 8. Watie wasikilizaji moyo wasome Mnara wa Mlinzi la Desemba 1 na Amkeni! la Desemba. Waombe wabebe magazeti hayo kwenye mkutano wa juma linaloanza Januari 7.

Wimbo 139

Juma Linaloanza Desemba 24

Wimbo 212

Dak. 10: Matangazo ya kwenu. Soma ripoti ya hesabu na taarifa ya shukrani kwa ajili ya michango. Taja toleo la Januari, na tayarisha onyesho moja la utoaji wa toleo hilo.

Dak. 15: Mahitaji ya kwenu.

Dak. 20: “Uwe na Mradi wa Kuongoza Funzo la Biblia.”d Hoji mhubiri mmoja au wawili ambao wameanzisha funzo la Biblia hivi karibuni. Funzo hilo lilianzishwaje? Na linaendeleaje?

Wimbo 21

Juma Linaloanza Desemba 31

Wimbo 89

Dak. 5: Matangazo ya kwenu. Wakumbushe wahubiri watoe ripoti zao za utumishi wa shambani za mwezi wa Desemba.

Dak. 15: Nguvu Zenye Kuchochea za Ujitoaji Kimungu. Hotuba yenye kujenga inayotegemea Mnara wa Mlinzi la Machi 1, 1990 ukurasa wa 22-23.

Dak. 25: “Kampeni Kubwa Zaidi Duniani ya Kuhubiri!”e Waalike wasikilizaji watoe maelezo ya jinsi itikio lilivyokuwa walipokuwa wakiwaonyesha watu wao wa ukoo, marafiki, ziara za kurudia, na mafunzo yao ya Biblia video Jehovah’s Witnesses—Organized to Share the Good News. Mahali ambapo video hiyo haipatikani, wale ambao wamepata matokeo mazuri katika kuwahubiria watu wao wa ukoo, marafiki, katika kufanya ziara za kurudia, na kuongoza mafunzo ya Biblia, wanaweza kutoa mambo yaliyoonwa. Au zungumzia makala “Jinsi Unavyoweza Kumsaidia Mtoto Wako Ampende Mungu Kutoka Moyoni” inayopatikana katika Mnara wa Mlinzi la Septemba 15, 2007, ukurasa wa 8-10.

Wimbo 202

Juma Linaloanza Januari 7

Wimbo 159

Dak. 5: Matangazo ya kwenu.

Dak. 15: Jitayarishe Kutoa Magazeti ya Karibuni. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yakitegemea Mnara wa Mlinzi la Desemba 1 na Amkeni! la Desemba. Baada ya kutoa maelezo mafupi kuhusu magazeti hayo, waulize wasikilizaji ni makala gani inayoweza kuwavutia watu katika eneo lenu na kwa nini. Waalike wasikilizaji watoe maoni wakitumia makala ambazo wamepanga kutumia. Ni swali gani watakalouliza ili kuanzisha mazungumzo? Watasoma andiko gani kutoka kwenye makala? Andiko hilo linahusianaje na makala hiyo? Ukitumia mapendekezo yanayopatikana katika Huduma ya Ufalme Yetu au mapendekezo yaliyotolewa na wasikilizaji, tayarisha maonyesho ya jinsi ya kutoa magazeti hayo.

Dak. 25: “Kusanyiko la Wilaya la Mashahidi wa Yehova la 2008.”f Ishughulikiwe na mwandishi wa kutaniko. Wapongeze wote kwa kuanza kufanya mipango mapema iwezekanavyo.

Wimbo 99

[Maelezo ya Chini]

a Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.

b Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.

c Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.

d Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.

e Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.

f Toa utangulizi usiozidi dakika moja, kisha uendeleze mazungumzo kwa maswali na majibu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki