Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 2
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 2
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 21-24
Na. 1: Mwanzo 22:1-18
Na. 2: “Huyu Ni Mwanangu” (lr sura ya 5)
Na. 3: Jinsi ya Kupanua Upendo Wetu kwa Wengine (2 Kor. 6:11-13)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo ya kwenu. Wakumbushe wahubiri watoe ripoti zao za mwezi wa Januari.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Vizuia-Mazungumzo. Baada ya utangulizi mfupi, tumia kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 15-20, ili kuonyesha jinsi tunavyoweza kujibu vizuia-mazungumzo vinavyotokea mara nyingi katika eneo letu.
Dak. 10: Wasaidie Wale Wasio na Imani Katika Biblia. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yakitegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 38-42. Zungumzia jinsi vipingamizi mbalimbali kuhusu Biblia vinavyoweza kushughulikiwa. Panga kuwe na onyesho la jinsi ya kushinda kipingamizi ambacho ni cha kawaida sana katika eneo lenu.