Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 6
JUMA LINALOANZA APRILI 6
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 7-10
Na. 1: Kutoka 9:1-19
Na. 2: Wale Walioitwa Wawe Wanafunzi wa Yesu (lr sura ya 13)
Na. 3: Tunaweza Kupatanishaje Wagalatia 6:2 na Wagalatia 6:5?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kutoa Sababu Zenye Kusadikisha. Hotuba inayotolewa kwa shauku, na mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 255-257.
Dak. 20: Vijana—Mtatumiaje Maisha Yenu? Mzee aongoza mazungumzo pamoja na wasikilizaji kuhusu trakti Maisha Yenu. Wapongeze kwa moyo vijana waliobatizwa ambao wanatanguliza mambo ya Ufalme. Mhoji kifupi ndugu au dada ambaye amekuwa mtumishi wa wakati wote tangu ujanani au ambaye ametamani kuwa mtumishi wa wakati wote kwa muda na sasa amefaulu. ‘Ni nini kilichokuchochea ufanye uamuzi huu? Umepata baraka gani?’