Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 29
JUMA LINALOANZA JUNI 29
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 14-16
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kuwa Nadhifu—Kwa Nini Ni Muhimu? Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 131-134.
Dak. 10: Chagua Mambo ya Kuzungumzia Pamoja na “Watu wa Namna Zote.” (1 Kor. 9:22) Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Maswali yafuatayo yanapozungumziwa, wasikilizaji wanaweza kusimulia mambo waliyojionea. Ni mambo gani ambayo umeona yanawavutia watu wa umri, jinsia, au dini fulani? Tunaweza kutumiaje kitabu Kutoa Sababu kuchagua mambo ambayo yatawavutia watu tofauti-tofauti? Tunawezaje kubadili mazungumzo yetu wakati mwenye nyumba anapotaka kuzungumzia habari tofauti na ile ambayo tulikuwa tumetayarisha?
Dak. 10: Toleo la Julai na Agosti. Pitia broshua zitakazotolewa. Panga maonyesho mawili au matatu ambayo yanaweza kuwa na matokeo mazuri katika eneo lenu.