Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 13
JUMA LINALOANZA JULAI 13
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 7 ¶10-19, sanduku kwenye uku. 81
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mambo ya Walawi 21-24
Na. 1: Mambo ya Walawi 22:17-33
Na. 2: Je, Watu Wanaofanya Mabaya Wanaweza Kubadilika? (lr sura ya 25)
Na. 3: Jinsi Wakristo wa Kweli Wanavyowahangaikia Maskini
❑ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Biblia Katika Huduma Yako. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea habari kwenye ukurasa wa 145 wa kitabu Shule ya Huduma. Panga onyesho fupi kuhusu manufaa ya kutumia Biblia yenye jina la Mungu, Yehova.
Dak. 10: Kuanzisha Mafunzo ya Biblia. Simulia mambo yaliyoonwa, au wahoji wahubiri kuhusu matokeo ya kuwatolea watu funzo la Biblia katika siku iliyotengwa kwa kusudi hili.
Dak. 10: “Je, Unaweza Kupanua Utumishi Wako?” Mazungumzo kwa maswali na majibu.