Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 17
JUMA LINALOANZA AGOSTI 17
□ Funzo la Kitabu la Kutaniko:
lv sura ya 8 ¶19-26, masanduku kwenye uku. 94, 96
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 10-13
Na. 1: Hesabu 13:17-33
Na. 2: Jinsi Tunavyoweza Kuushinda Woga (lr sura ya 30)
Na. 3: Andiko la 1 Petro 3:19, 20 Linamaanisha Nini? (rs uku. 199 ¶4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Kuhubiri Nyumba kwa Nyumba. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu cha Tengenezo, ukurasa wa 93, fungu la 1, hadi ukurasa wa 95, fungu la 2. Mhoji mhubiri mmoja au wawili wanaohubiri nyumba kwa nyumba licha ya vikwazo kama vile ugonjwa au haya. Wamebarikiwa jinsi gani kwa sababu ya jitihada zao?
Dak. 15: “Je, Uko Tayari Kurudi Shuleni?” Mazungumzo kwa maswali majibu. Mhoji kijana mmoja au wawili ambao wametoa ushahidi shuleni kwa mafanikio. Ni nini kilichowasaidia kufanya hivyo? Waombe wasimulie jambo lililoonwa.