Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 31
JUMA LINALOANZA AGOSTI 31
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 9 ¶13-21, sanduku kwenye uku. 104
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 17-21
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kutoa Sababu Juu ya Habari na Kutambua Hisia za Moyoni. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 237, fungu la 3, hadi ukurasa wa 238, fungu la 5. Onyesho moja au mawili kuhusu habari hizo yanaweza kupangwa.
Dak. 20: “Mikutano ya Utumishi wa Shambani.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.