Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 28
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 28
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 33-36
Na. 1: Hesabu 33:1-23
Na. 2: Tunaweza Kufufuliwa! (lr sura ya 35)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Ni Bora Kuliko Serikali za Wanadamu kwa Njia Gani?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Mifano Kufundisha. Hotuba inayozungumzia habari inayofaa eneo lenu kwenye ukurasa wa 240-243 wa kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 20: “Watafute Wanaostahili.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Mhoji mhubiri mmoja au wawili ambao wameweka mfano mzuri kwa kuhubiri katika maeneo ya aina zote.