Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 14
JUMA LINALOANZA DESEMBA 14
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 6-8
Na. 1: Yoshua 8:1-17
Na. 2: Je, Mungu Atauharibu Ulimwengu Tena kwa Maji? (lr sura ya 46)
Na. 3: Kwa Nini Shauri la Mhubiri 7:21, 22 Linafaa?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Kwa Nini Ninaogopa Kuhubiri? Hotuba inayotegemea Amkeni! la Julai 2009, ukurasa wa 24-27. Panga onyesho kuhusu jinsi wazazi wanavyoweza kumsaidia mtoto wao wakati wa Ibada ya Familia kujitayarisha kujibu maswali shuleni. Wanafanya utafiti na kujadiliana kuhusu swali moja lililo kwenye ukurasa wa 25, kisha wanakuwa na kipindi cha mazoezi ambapo mtoto anajibu swali hilo.
Dak. 15: “Hubiri kwa Bidii!” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Mnapozungumzia fungu la 4, mhoji mhubiri wa Ufalme mwenye bidii na umwulize maswali yafuatayo: Umechukua hatua gani ili uepuke kulemewa na mambo yasiyo ya lazima ya ulimwengu? Umenufaika kwa njia zipi kwa kuhubiri kwa bidii?