Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 12/09 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 14

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 14
  • Huduma ya Ufalme—2009
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA DESEMBA 14
Huduma ya Ufalme—2009
km 12/09 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 14

JUMA LINALOANZA DESEMBA 14

Wimbo 41

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

lv sura ya 14 ¶1-9

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Yoshua 6-8

Na. 1: Yoshua 8:1-17

Na. 2: Je, Mungu Atauharibu Ulimwengu Tena kwa Maji? (lr sura ya 46)

Na. 3: Kwa Nini Shauri la Mhubiri 7:21, 22 Linafaa?

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 161

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 15: Kwa Nini Ninaogopa Kuhubiri? Hotuba inayotegemea Amkeni! la Julai 2009, ukurasa wa 24-27. Panga onyesho kuhusu jinsi wazazi wanavyoweza kumsaidia mtoto wao wakati wa Ibada ya Familia kujitayarisha kujibu maswali shuleni. Wanafanya utafiti na kujadiliana kuhusu swali moja lililo kwenye ukurasa wa 25, kisha wanakuwa na kipindi cha mazoezi ambapo mtoto anajibu swali hilo.

Dak. 15: “Hubiri kwa Bidii!” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Mnapozungumzia fungu la 4, mhoji mhubiri wa Ufalme mwenye bidii na umwulize maswali yafuatayo: Umechukua hatua gani ili uepuke kulemewa na mambo yasiyo ya lazima ya ulimwengu? Umenufaika kwa njia zipi kwa kuhubiri kwa bidii?

Wimbo 92

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki