Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 18
JUMA LINALOANZA JANUARI 18
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 15 ¶18-23, sanduku kwenye uku. 180
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 1-4
Na. 1: Waamuzi 2:11-23
Na. 2: Ni Watu wa Aina Gani Wanaoenda Sheoli au Hadesi (Kuzimu)? (rs uku. 155 ¶1-3)
Na. 3: Mungu Hakumwumba Ibilisi
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Jitayarishe kutoa Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Pitia kifupi magazeti yanayotolewa, kisha utaje makala ambazo unaona zinaweza kuwavutia watu katika eneo lenu. Panga onyesho kuhusu jinsi mhubiri kijana anavyoweza kujitayarisha kutoa magazeti hayo.
Dak. 15: Sanduku la Swali. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Soma na uzungumzie maandiko yaliyoonyeshwa.