Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 15
JUMA LINALOANZA MACHI 15
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 1 ¶16-20, sanduku kwenye uku. 13
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 5-9
Na. 1: 1 Samweli 6:1-9
Na. 2: Tunaweza Kujilinda Jinsi Gani Dhidi ya Shetani na Mashetani Wake?
Na. 3: Maana ya Mfano Kumhusu Tajiri na Lazaro Ni Nini? (rs uku. 160 ¶1-3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Shiriki Katika Kazi Kubwa Zaidi ya Kuwatafuta Watu! Hotuba inayotegemea habari iliyo chini ya kichwa kidogo “Kuwatafuta Wale Wanaostahili,” kwenye ukurasa wa 95 katika kitabu Tengenezo.
Dak. 20: “Kazi Muhimu Zaidi.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 3, mhoji mhubiri mmoja ambaye amekuwa na pendeleo la kuwa na mwanafunzi wa Biblia anayefanya maendeleo. Mwanafunzi huyo alihitaji kufanya mabadiliko gani? Mhubiri huyo amechochewa kwa njia gani na mabadiliko ya mwanafunzi huyo?