Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 12
JUMA LINALOANZA APRILI 12
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 19-22
Na. 1: 1 Samweli 21:1-9
Na. 2: Tunapaswa Kuyaonaje Mambo Ambayo Yehova Anachukia? (Met. 6:16-19)
Na. 3: Ni Kanuni Gani Zinazopaswa Kutuongoza Kuhusiana na Maadhimisho Mbalimbali? (rs uku. 278 ¶1-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Fikia Mioyo ya Wasikilizaji kwa Kuwasaidia Wafikiri. Hotuba inayotegemea habari katika kitabu Shule ya Huduma, kuanzia ukurasa wa 58, fungu la 3, hadi mwisho wa kichwa kidogo kinachoanza kwenye ukurasa wa 59.
Dak. 20: “Fundisha kwa Ushawishi.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 4, mwombe painia mmoja aonyeshe jinsi ya kuanzisha funzo la Biblia kwa kutumia kitabu Biblia Inafundisha, akifuata mapendekezo katika makala hii.