Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 26
JUMA LINALOANZA APRILI 26
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 3 ¶20-24, sanduku kwenye uku. 34
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 26-31
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 5: Jitayarishe Kutoa Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Kwanza, mwombe painia aonyeshe jinsi ambavyo amepanga kutoa toleo la karibuni zaidi la Mnara wa Mlinzi au Amkeni! Baada ya onyesho, waombe wasikilizaji waeleze kifupi wamepanga kutumia makala, maswali, na maandiko gani.
Dak. 25: Pitia kwa maswali na majibu fungu la 1-10 la nyongeza yenye kichwa, “Je, Nimpeleke Mtoto Wangu Kwenye Shule ya Bweni?” katika Huduma Yetu ya Ufalme ya Novemba 2009.