Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 7
JUMA LINALOANZA JUNI 7
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 5 ¶16-20, sanduku kwenye uku. 55
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 19-21
Na. 1: 2 Samweli 19:11-23
Na. 2: Mungu Anazionaje Sanamu Zinazoabudiwa? (rs uku. 263 ¶1-4)
Na. 3: Jinsi Shetani Anavyowapofusha Watu Wasione Kweli (2 Kor. 4:4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Hubiri kwa Njia Inayoeleweka. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 226-229.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Kuhubiri Katika Maeneo Yenye Watu Wanaoongea Lugha Mbalimbali. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 107, fungu la 2-3. Mhoji kifupi mwangalizi wa utumishi. Ni makutaniko gani ya lugha nyingine yanayohubiri katika eneo lenu? Makutaniko hayo yamefanya mipango gani ili watu wa lugha zote wahubiriwe ifaavyo, lakini wasitembelewe mara kadhaa siku ileile?