Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 5
JUMA LINALOANZA JULAI 5
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 7-8
Na. 1: 1 Wafalme 8:14-26
Na. 2: Kwa Nini Tunaonywa Tusiwe Wenye Hekima Machoni Petu Wenyewe? (Isa. 5:21)
Na. 3: Watu Wanapopuuza Viwango vya Biblia Kuhusu Ngono, Je, kwa Kweli Wanapata Uhuru? (rs uku. 332 ¶4–uku. 333 ¶2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Njia za Kupanua Huduma Yako—Sehemu ya 1. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 111, fungu la 1, hadi ukurasa wa 112, fungu la 2. Mhoji mhubiri mmoja au wawili ambao wamehamia sehemu nyingine au wamejifunza lugha nyingine ili kupanua huduma yao. Walikabili changamoto zipi? Walipata msaada gani kutoka kwa familia zao au kwa ndugu na dada kutanikoni? Wamepata baraka zipi?
Dak. 10: Wasaidie Wanafunzi Wako Wajichunguze. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 261, fungu la 1, hadi mwisho wa ukurasa wa 262.