Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 2
JUMA LINALOANZA AGOSTI 2
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 18-20
Na. 1: 1 Wafalme 18:21-29
Na. 2: Mbingu na Dunia Vitapitilia Mbali kwa Njia Gani? (Ufu. 21:1)
Na. 3: Ni Lazima Tuepuke Mitazamo Gani ya Kutaka Uhuru wa Kujiamulia Mambo? (rs uku. 335 ¶2–uku. 336 ¶3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Njia za Kupanua Huduma Yako—Sehemu ya 4. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 116, fungu la 1, hadi ukurasa wa 117, fungu la 1. Mhoji mhubiri mmoja au wawili ambao wanasaidia Halmashauri ya Ujenzi ya Mkoa ya eneo lenu kuhusu jinsi wanavyofurahia pendeleo hilo la utumishi.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Mambo Yaliyoonwa Katika Kuanzisha Mafunzo ya Biblia. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Eleza kile ambacho kutaniko lenu limetimiza katika siku iliyotengwa kwa ajili ya kuanzisha mafunzo ya Biblia. Waombe wasikilizaji waeleze mambo yaliyoonwa katika eneo lenu. Panga ili jambo moja au mawili yaliyoonwa yaigizwe. Malizia kwa onyesho la jinsi ya kuanzisha funzo katika ziara ya kwanza.