Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 30
JUMA LINALOANZA AGOSTI 30
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 9 ¶17-21, sanduku kwenye uku. 96
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 9-11
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: “Je, Umetumia Ukurasa wa Nyuma?” Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Onyesha jinsi ya kutoa nakala ya karibuni ya gazeti la Mnara wa Mlinzi ukitumia dokezo lililo katika sehemu hiyo. Chagua makala moja au mbili za gazeti la Amkeni! la karibuni na uwaombe wasikilizaji wataje maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati gazeti hilo linapotolewa. Panga onyesho la jinsi gazeti hilo linavyoweza kutolewa.
Dak. 20: “Unaweza Kuhubiri Isivyo Rasmi!”—Sehemu ya 2. Mazungumzo kwa maswali na majibu yanayotegemea fungu la 9-13 na sanduku katika ukurasa wa 6.