Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 5
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 6
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 12-15
Na. 1: 2 Wafalme 13:1-11
Na. 2: Tunaweza Kupokea Roho Takatifu kwa Njia Zipi?
Na. 3: Kati ya Jina Yehova na Yahweh, Ni Lipi Lililo Sahihi, na Kwa Nini Ni Muhimu Kujua na Kutumia Jina la Mungu? (rs uku. 423 ¶3–uku. 426 ¶3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Sisi Si Manabii wa Uwongo. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yakitegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 179, fungu la 3, hadi ukurasa wa 181 fungu 2. Panga onyesho la jinsi ya kutumia mojawapo ya madokezo yanayoanzia ukurasa wa 180.
Dak. 10: Hotuba inayotegemea makala, “Mama Wenye Afya, Watoto Wenye Afya” katika gazeti la Amkeni! la Novemba 2009 uku. 26-29.
Dak. 10: Hoji mhubiri mmoja au wawili walio mfano mzuri na ambao wamemtumikia Yehova kwa uaminifu kwa miaka mingi. Kazi ya kuhubiri imebadilika jinsi gani tangu walipoanza kuhubiri? Wameona ukuzi wa aina gani katika kazi ya kuhubiri na kufundisha katika tengenezo la Yehova? Tengenezo limewasaidia katika njia gani ili kufanya maendeleo wakiwa waeneza-injili?