Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 13
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 13
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 16-18
Na. 1: 2 Wafalme 17:1-11
Na. 2: Je, Yehova Katika “Agano la Kale” Ndiye Yesu Kristo Katika “Agano Jipya”? (rs uku. 426 ¶4-7)
Na. 3: Je, Biblia Inasema Tunapaswa Kumwamini Mungu Bila Uthibitisho Wowote?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Pendeleo la Kuwa Mhudumu wa Habari Njema. Hotuba yenye kusisimua ikitegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 77 hadi ukurasa wa 78, fungu la 2.
Dak. 20: “The Bible—Its Power in Your Life.” Maswali na majibu. Ikiwa DVD hiyo haipatikani, tumieni habari zilizo katika broshua Anataka, somo la 1, 8, 9, na 10, na ukazie jinsi Biblia ilivyo na nguvu za kubadili maisha ya watu. Tumia maswali yaliyotayarishwa kwa ajili ya video hiyo, na ambayo yanaweza kujibiwa kwa kutumia habari zilizo katika broshua Anataka.