Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 27
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 27
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 23-25
Na. 1: 2 Wafalme 23:1-7
Na. 2: Ni Imani au Mafundisho Gani ya Mashahidi wa Yehova Inayowatofautisha na Dini Nyingine? (rs uku. 188 ¶1–uku. 189 ¶5)
Na. 3: Wakristo wa Kweli Wanaweza Kuacha Nuru Yao Iangaze kwa Njia Zipi? (Mt. 5:14-16)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Jitayarishe Kutoa Magazeti ya Karibuni. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kupitia magazeti hayo. Kisha chagua makala mbili au tatu na uwaombe wasikilizaji wataje maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati magazeti hayo yanapotolewa. Panga maonyesho ya jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Dak. 15: “Je, Utaanzisha Funzo la Biblia Mwezi wa Oktoba?” Maswali na majibu. Panga onyesho moja au mawili.