Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 4
JUMA LINALOANZA OKTOBA 4
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 1-4
Na. 1: 1 Nyakati 1:1-27
Na. 2: Maana ya Kuwa Mwenye Kufanya Amani (1 Pet. 3:10-12)
Na. 3: Je, Mashahidi wa Yehova Ni Dini ya Marekani, na Wanagharimia Kazi Yao Jinsi Gani? (rs uku. 189 ¶6-uku.190 ¶5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kwa Nini Sisi Huripoti Utumishi Wetu wa Shambani? Hotuba itolewe na mwandishi ikitegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 88, fungu la 2, hadi ukurasa wa 90, fungu la 2.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Kufanya Wanafunzi na Kuwafundisha. (Mt. 28:19, 20) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka wa 2010, ukurasa wa 8, fungu la 3, hadi ukurasa wa 10, fungu la 2. Baada ya kuzungumzia kila moja ya mambo yaliyoonwa, waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.