Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 10/10 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 18

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 18
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA OKTOBA 18
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 10/10 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 18

JUMA LINALOANZA OKTOBA 18

Wimbo 45

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

cf sura ya 12 ¶1-7

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 8-11

Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 11:1-14

Na. 2: Roho na Bibi-Arusi Husema “Njoo” Jinsi Gani? (Ufu. 22:17)

Na. 3: Je, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Kwamba Dini Yao tu Ndiyo ya Kweli? (rs uku. 192 ¶2-3)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 65

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Umuhimu wa Kuwatazama Watu Tunaowahubiria. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 124, fungu la 1, hadi ukurasa wa 125, fungu la 4.

Dak. 20: “Broshua Mpya Tutakayotoa!” Maswali na majibu. Unapozungumzia fungu la 1, taja kifupi mambo makuu ya broshua hiyo. Baada ya kuzungumzia fungu la 2 na la 3, panga maonyesho yanayotegemea mapendekezo yaliyoonyeshwa. Baada ya kuzungumzia fungu la 4, panga onyesho la jinsi ya kuanzisha funzo la Biblia katika ziara ya kurudia.

Wimbo 114

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki