Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 18
JUMA LINALOANZA OKTOBA 18
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 8-11
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 11:1-14
Na. 2: Roho na Bibi-Arusi Husema “Njoo” Jinsi Gani? (Ufu. 22:17)
Na. 3: Je, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Kwamba Dini Yao tu Ndiyo ya Kweli? (rs uku. 192 ¶2-3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Umuhimu wa Kuwatazama Watu Tunaowahubiria. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 124, fungu la 1, hadi ukurasa wa 125, fungu la 4.
Dak. 20: “Broshua Mpya Tutakayotoa!” Maswali na majibu. Unapozungumzia fungu la 1, taja kifupi mambo makuu ya broshua hiyo. Baada ya kuzungumzia fungu la 2 na la 3, panga maonyesho yanayotegemea mapendekezo yaliyoonyeshwa. Baada ya kuzungumzia fungu la 4, panga onyesho la jinsi ya kuanzisha funzo la Biblia katika ziara ya kurudia.