Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 25
JUMA LINALOANZA OKTOBA 25
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 12-15
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 8: Matangazo. “Unapohitaji Vitabu vya Lugha ya Kigeni kwa Uharaka.” Hotuba.
Dak. 12: Umoja Wetu wa Ulimwenguni Pote Humletea Yehova Utukufu. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 165, fungu la 2, hadi kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 168. Waombe baadhi ya wasikilizaji wasimulie mambo yaliyoonwa katika vitabu vyetu ambayo yanaonyesha jinsi umoja na upendo wetu ulivyochangia kutoa ushahidi.
Dak. 15: Uwe Mwenye Kujidhabihu. (Luka 9:23) Mazungumzo yakitegemea Kitabu cha Mwaka wa 2010, ukurasa wa 45, fungu la 1; ukurasa wa 56, fungu la 2; na ukurasa wa 58, fungu la 1, hadi ukurasa wa 59, fungu la 1. Baada ya kuzungumzia kila jambo lililoonwa, waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo ambayo wamejifunza.