Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 13
JUMA LINALOANZA DESEMBA 13
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 14 ¶17-21, sanduku kwenye uku. 149
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 15-19
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 15:8-19
Na. 2: Mtu Akisema: “Wakristo Wanapaswa Kuwa Mashahidi wa Yesu, Wala Si wa Yehova”(rs uku. 197 ¶2)
Na. 3: Tunawezaje Kuonyesha Heshima Katika Ibada Yetu kwa Yehova?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ya 2011. Hotuba itolewe na mwangalizi wa shule. Zungumzia mambo ambayo kutaniko lenu linahitaji kuzingatia kutoka katika ratiba ya 2011. Pitia jukumu la mshauri msaidizi. Watie moyo wote wajitahidi kutimiza migawo yao, kutoa maelezo wakati wa mambo makuu ya usomaji wa Biblia, na kutumia mapendekezo yanayotolewa kila juma kutoka katika kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 15: “Itumie Vizuri.” Maswali na majibu. Panga onyesho moja au mawili yanayotegemea madokezo hayo.