Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 10
JUMA LINALOANZA JANUARI 10
Wimbo 50 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 16 ¶1-6 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 33-36 (Dak. 10)
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 34:12-21 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Mfano wa Maria, Mama ya Yesu? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Yesu Alikuwa Tu Kiongozi Mwingine wa Kidini?—rs uku. 429 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Zungumza kwa Hisia Unapohubiri. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 118, fungu la 1, hadi ukurasa wa 119, fungu la 5.
Dak. 10: Unaweza Kuvuka na Kuingia Makedonia? (Mdo. 16:9, 10) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2010, ukurasa wa 163-164 na ukurasa wa 238-239. Baada ya kuzungumzia kila moja ya mambo yaliyoonwa, waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 10: “Kazi Yenye Kufurahisha Zaidi.” Maswali na majibu. Mhoji kifupi mhubiri mmoja kuhusu shangwe na uradhi ambao amepata kwa kuongoza funzo la Biblia lenye maendeleo.
Wimbo 75 na Sala