Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 17
JUMA LINALOANZA JANUARI 17
Wimbo 77 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 16 ¶7-14 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezra 1-5 (Dak. 10)
Na. 1: Ezra 3:1-9 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Wayahudi kwa Ujumla Hawakumkubali Yesu Kuwa Masihi?—rs uku. 429 ¶2–uku. 430 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Roho Humrudia Mungu Katika Njia Gani?—Mhu. 12:7 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. Taja Habari Kuu za Utumishi zilizo katika toleo hili la Huduma Yetu ya Ufalme.
Dak. 10: Umuhimu wa Kurudia Mambo Tunapohubiri. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 206-207. Onyesha kifupi jinsi ya kutumia hoja moja au mbili zinazozungumziwa humo.
Dak. 20: “Je, Unajua Mbinu Zote za Matibabu Yasiyohusisha Damu?” Maswali na majibu. Tumia habari katika fungu la 1 katika utangulizi na habari katika fungu la 3 katika umalizio. Ishughulikiwe na mzee.
Wimbo 7 na Sala