Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 24
JUMA LINALOANZA JANUARI 24
Wimbo 53 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 16 ¶15-20, sanduku kwenye uku. 171 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezra 6-10 (Dak. 10)
Na. 1: Ezra 7:1-17 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Yesu Amethibitishaje Kuwa Anastahili Kutawala Kama Mfalme? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kweli Yesu Kristo Ni Mungu?—rs uku. 430 ¶2-3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. Taja toleo la mwezi wa Februari, na uonyeshe jinsi ya kutoa mojawapo ya vitabu hivyo.
Dak. 20: “Msaada kwa Familia.”—Sehemu ya 1. (Fungu la 1-6 na sanduku kwenye ukurasa wa 6.) Maswali na majibu. Watie moyo wasikilizaji wajaribu kutumia baadhi ya madokezo katika sanduku kwenye ukurasa wa 6 wakati wa jioni inayofuata ya Ibada ya Familia. Sehemu ya pili ya makala hii itakapozungumziwa juma lijalo, watapata fursa ya kueleza jinsi ambavyo familia yao imefaidika.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Februari. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kupitia magazeti ya karibuni. Kisha chagua makala mbili au tatu na uwaombe wasikilizaji wataje maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati magazeti hayo yanapotolewa. Onyesha jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 32 na Sala