Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 14
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 14
Wimbo 72 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 17 ¶16-20, sanduku kwenye uku. 181 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Nehemia 9-11 (Dak. 10)
Na. 1: Nehemia 11:1-14 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Andiko la Mathayo 1:23 Linaonyesha Kwamba Yesu Alikuwa Mungu Alipokuwa Duniani?—rs uku. 432 ¶2–uku. 433 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Njia za Kuonyesha Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu—1 Pet. 4:10 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 12: Kuzungumza na Watu Tusiowafahamu. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 62-64. Mhoji kifupi mhubiri ambaye anajulikana kwa ustadi wake wa kuanzisha mazungumzo anapohubiri isivyo rasmi au katika huduma ya nyumba kwa nyumba.
Dak. 18: “Majira ya Ukumbusho—Fursa ya Kuongeza Utendaji!” Maswali na majibu. Ishughulikiwe na mwangalizi wa utumishi. Baada ya kuzungumzia sehemu hiyo, aeleza juu ya mipango ya mikutano ya utumishi wa shambani katika mwezi wa Machi, Aprili, na Mei. Pendekeza ratiba zitakazowawezesha wahubiri walio na hali mbalimbali kufikisha saa 50 kwa mwezi katika utumishi. Wahoji wahubiri wawili au watatu waliofanya upainia msaidizi katika majira ya Ukumbusho mwaka uliopita licha ya kuwa na ratiba yenye shughuli nyingi au matatizo ya kimwili.
Wimbo 8 na Sala