Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 7
JUMA LINALOANZA MACHI 7
Wimbo 102 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 18 ¶19-23, sanduku kwenye uku. 191 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Esta 6-10 (Dak. 10)
Na. 1: Esta 7:1-10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Kuwa Yesu Huabudiwa, Je, Hilo Linathibitisha Kwamba Yeye Ni Mungu?—rs uku. 433 ¶4 uku. 434 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Yesu Ndiye Wakili Mkuu na Mkamilishaji wa Imani Yetu?—Ebr. 12:2 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Zungumza kwa Usadikisho Unapofundisha. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 255-257. Onyesha kifupi jambo moja au mawili katika habari hiyo.
Dak. 10: Tumia Trakti Vizuri. Mazungumzo. Taja baadhi ya trakti zinazopatikana kwenu. Eleza wakati ambapo trakti hizo zinaweza kutumiwa na kwa nini zinavutia. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi wameweza kutumia trakti vizuri. Tia ndani onyesho moja au mawili.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Wimbo 35 na Sala