Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 11
JUMA LINALOANZA APRILI 11
Wimbo 44 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 2 ¶8-15 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ayubu 21-27 (Dak. 10)
Na. 1: Ayubu 25:1–26:14 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Misalaba Haipaswi Kutumiwa Katika Ibada? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Yesu Kristo Ndiye Mikaeli, Yule Malaika Mkuu?—rs uku. 436 ¶4–uku. 437 ¶2 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. Wajulishe ndugu kuhusu jinsi usambazaji wa mialiko ya Ukumbusho unavyoendelea katika eneo lenu.
Dak. 10: Panda Mbegu Zako, na Usiache Mkono Wako Upumzike. (Mhu. 11:6) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 171, fungu la 2, hadi ukurasa wa 173, fungu la 5. Baada ya kuzungumzia kila jambo lililoonwa, waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 10: Jinsi ya Kutoa Ushahidi kwa Barua. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 71-73.
Dak. 10: “Ushahidi Mkubwa Utatolewa.” Maswali na majibu.
Wimbo 8 na Sala