Ratibu ya Juma Linaloanza Aprili 18
JUMA LINALOANZA APRILI 18
Wimbo 17 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 2 ¶16-23 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ayubu 28-32 (Dak. 10)
Na. 1: Ayubu 30:1-23 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mtu Akisema: “Nyinyi Hamwamini Yesu”—rs uku. 437 ¶3–uku. 438 ¶2 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Tunapaswa Kufikiri Kabla ya Kusema?—Met. 16:23 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Wengine Wanapotaka Majibu. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 177, fungu la 2, hadi mwisho wa ukurasa wa 178. Panga onyesho fupi kuhusu mtu asiye Shahidi anayemuuliza mhubiri ambaye ni mfanyakazi mwenzake swali kuhusu imani yetu. Mhubiri anageuka kando na kujizungumzia akitaja njia mbalimbali za kumjibu, anaamua njia atakayotumia, na kisha anajibu swali.
Dak. 10: Sanduku la Swali. Mazungumzo. Yaongozwe na mzee.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Nyumba kwa Nyumba. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 93, fungu la 1 hadi ukurasa wa 95, fungu la 2. Mhoji mhubiri mmoja au wawili wanaohubiri nyumba kwa nyumba kwa ukawaida licha ya matatizo kama vile ugonjwa au kuwa na haya. Jitihada zao zimebarikiwa jinsi gani?
Wimbo 26 na Sala