Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 5/11 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 9

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 9
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA MEI 9
Huduma Yetu ya Ufalme—2011
km 5/11 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 9

JUMA LINALOANZA MEI 9

Wimbo 58 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 3 ¶12-18 (Dak. 25)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Zaburi 1-10 (Dak. 10)

Na. 1: Zaburi 7:1-17 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Mtu Akisema: “Mimi Nimemkubali Yesu Kuwa Mwokozi wa Maisha Yangu”—rs uku. 438 ¶5 (Dak. 5)

Na. 3: Kwa Nini Yesu Alimkosoa Mtu Aliyemwita “Mwalimu Mwema”?—Marko 10:17, 18 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 4

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Lazima Tumtii Mungu Kuwa Mtawala Kuliko Wanadamu. (Mdo. 5:29) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 219, fungu la 3, hadi ukurasa wa 221, fungu la 2. Baada ya kuzungumzia kila moja ya mambo yaliyoonwa, waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.

Dak. 10: Unaweza Kuwa Painia Msaidizi Wakati wa Likizo? Mazungumzo. Pitia kifupi ukurasa wa 112-113 wa kitabu Tengenezo, na utaje matakwa ya kuwa painia. Waombe wale ambao wametumia likizo ya kazini au shuleni kufanya upainia msaidizi waeleze kuhusu baraka ambazo wamefurahia.

Dak. 10: “Acheni Nuru Yenu Iangaze.” Maswali na majibu. Waombe wasikilizaji wasimulie mambo waliyojionea, yanayoonyesha jinsi mwenendo mzuri wao ulivyotokeza fursa za kutoa ushahidi.

Wimbo 93 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki